Vichekesho mbalimbali

Vichekesho mbalimbali Kwa matangazo yote nicheki inbox or DM 0612513701

🤣
20/12/2025

🤣

twende kazi
05/12/2025

twende kazi

RIP MWAMBA HIROYUKI TAGAWA Umemjua kwenye movie gani
05/12/2025

RIP MWAMBA HIROYUKI TAGAWA Umemjua kwenye movie gani

Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana, mtawala, ana miliki mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, chini ya nchi ...
29/11/2025

Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana, mtawala, ana miliki mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, chini ya nchi na vyote vilivyomo. Hakuna na hatakuwepo k**a huyu Mwamba.

Ufunuo 5
9 Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,

10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

11 Nikaona nikasikia sauti ya malaika wengi pande zote za kile kiti cha enzi, na za wale wenye uhai, na za wale wazee, na hesabu yao ilikuwa elfu kumi mara elfu kumi na elfu mara elfu,

12 wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.

13 Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na milele.

14 Na wale wenye uhai wanne wakasema, Amina. Na wale wazee wakaanguka, wakasujudu.

Huyu MWAMBA hakuna falme, mamlaka na chochote kijiinuacho chaweza kumkabili, akishuka kuzimu mapepo yote na mkuu wao wanasarenda na kupooza.

Yeyote aliye na njaa na aje kwake, atashibishwa. Yeye aliyekiu aje anywe maji, maji ya uzima bure.

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco EmbalĂł amepinduliwa. Rais Umaro ameripotiwa kuk**atwa na maafisa wa kijeshi baada y...
27/11/2025

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco EmbalĂł amepinduliwa. Rais Umaro ameripotiwa kuk**atwa na maafisa wa kijeshi baada ya milio ya risasi kusikika katika mji mkuu, Bissau kwa siku 3 mfululizo. Shirika la habari la BBC limeripoti kwamba Rais huyo ametiwa mbaroni na maafisa wa kijeshi na kwa sasa yupo chini ya ulinzi.

Brigedia Jenerali Denis N’Canha, mkuu wa Brigedi ya kijeshi mjini Bisau amehutubia kupitia televisheni ya taifa na kutangaza kuwa jeshi limechukua madaraka. Jenerali N’Canha amesema askari wote wa kikosi cha ulinzi cha Rais wamek**atwa pamoja na mawaziri kadhaa.

Kabla ya Jeshi kutangaza mapinduzi hayo, Rais Sissoco alipiga simu kwenye kituo cha televisheni cha France 24 kilichopo Ufaransa kwa sauti ya kutetemeka na kusema: “Nimewekwa chini ya ulinzi, nimeondolewa madarakani” kabla ya simu hiyo kukatwa ghafla.

Guinea-Bissau ilikuwa ikisubiri matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili, ambapo mgombea mkuu wa upinzani Fernando Dias alienguliwa katika orodha ya wagombea ili kumfanya Rais Umaro ashinde kirahisi.

Jenerali N’Canha ametangaza kufutilia mbali matokeo ya awali ya uchaguzi yaliyoonyesha kumpa ushindi Rais Umaro kwa zaidi ya 90% na amesema uchaguzi huo ulijaa udanganyifu mkubwa. Jenerali N’Canha ametangaza kufunga mipaka ya nchi, huku akiwataka wananchi wabaki watulivu. Pia ameeleza kuwa Jeshi litaongoza nchi hiyo kwa muda mfupi ili kurejesha hali ya utulivu kabla ya kuandaa uchaguzi huru na wa haki.

Rais Umaro alikuwa Rais wa kwanza Afrika kumpongeza Rais Samia baada ya matokeo ya uchaguzi wa Tanzania kutangazwa. Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (X) Rais Umaro alipost picha akiwa na Rais Samia na kuandika maneno yafuatayo: “Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia Suluhu kwa kuchaguliwa tena. Ushindi huu ni ushahidi wa imani ambayo wananchi wa Tanzania wamempa na ni kielelezo cha dhamira yake thabiti ya kuendeleza na kustawisha Tanzania.”

Nini maoni yako??

🤣🤣
25/11/2025

🤣🤣

Hadithi ya Kevin Elliott na Barry Delaney inabaki kumbukumbu ya ucheshi wa kipekee na uaminifu wa dhati kati ya marafiki...
25/11/2025

Hadithi ya Kevin Elliott na Barry Delaney inabaki kumbukumbu ya ucheshi wa kipekee na uaminifu wa dhati kati ya marafiki wa kweli. Kabla ya Kevin kuondoka kwenda kutumikia katika jeshi la Black Watch nchini Afghanistan, wawili hawa walifanya ahadi ya kipekee: iwapo mmoja angefariki, mwingine angevaa gauni la kijani kibichi kwenye msiba.

Iliokuwa ni mchezo wa utani, ahadi hiyo ilionyesha uhusiano wa kipekee uliokuwa umejengwa kwa miaka ya urafiki, vicheko, na uaminifu.

Mwaka 2009, Kevin alipoteza maisha yake katika Helmand Province. Barry Delaney, akiheshimu ahadi yao, hakusita kutimiza kile walichokiahidi. Alifika kwenye mazishi akiwa amevaa gauni la kijani kibichi lenye kung’aa, soksi za waridi, huku moyo wake ukiwa umejaa huzuni.

Kitendo cha Barry kilibeba hisia changamano za huzuni, ucheshi, na heshima, na kuliweka tukio hilo kwenye kumbukumbu za ajabu za urafiki wa kweli. Hadithi hii inaonyesha kwamba uaminifu na ahadi za dhati zinaweza kuvuka mpaka wa maumivu na vifo.

18/10/2025
🙏🙏🙏🙏
18/10/2025

🙏🙏🙏🙏

Address

Airport
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vichekesho mbalimbali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category