05/09/2017
Habari zenu wapendwa wetu tunapenda kuwakaribisha katika sehemu yetu ya burudani kupata vinywaji baridi na chakula kitamu na vilevile bila kusahau ni sehemu tulivu kwa ajili ya kuangalia mpira na kila jpili tuna kuwa na live band ya magoma moto wakitoa burudani karibuni sana....